145. NDOA YETU NZIMA

NDOA YETU NZIMA

1.  Ndoa yetu nzima
simika, Yesu!
Usiku na mchana
uwepo kwetu.
Leo tuna raha,
Wewe watupa.

Chorus:
Ndoa yetu Bwana
ndiwe Baraka!

2.  Atoka kijana,
ataka mhumba
siku zinapita
za kupimana.
Leo twapatana
pamoja kukaa.
Ndoa yetu...

3.  Vyote hapa chini
vinakaa muda,
vyote vinaoza,
tena vyachakaa.
Pendo la duniani
nalo huchakaa.
Ndoa yetu…

4.  Kakaa kwetu Bwana,
kutukagua,
pendo letu sisi
lisichakae:
Hivi na tukae
na baraka tu.
Ndoa yetu…

5.  Kana arusuni
ulialikwa,
walivyoishiwa
ukaongeza,
nasi shida zetu
utazishinda.
Ndoa yetu...

Comments

Popular posts from this blog

140. MAHALI NI PAZURI

144. MBELE NINAENDELEA

141. PANA JITO, LINA MAJI MAZURI