157. KIJITO CHA UTAKAZO
KIJITO CHA UTAKAZO
1. Kijito cha utakaso
ni damu ya Yesu,
Bwana anao uwezo
kunipa wokovu.
Chorus:
Kijito cha utakaso,
Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo
Nimepata utakaso.
2. Viumbe vipya naona;
damu ina nguvu,
imeharibu uovu
ulionidhulumu.
3. Naondoka kutembea
nuruni mwa mbingu,
Na moyo safi kabisa
kumpendeza Mungu.
4. Ni neema ya ajabu
kupakwa na damu;
na Bwana Yesu kumjua
Yesu wa Msalaba.
Comments
Post a Comment